UNPKG

@mdkva/surahkit

Version:

MDKVA SurahKit provides clean, reliable, and easily accessible Quran data ideal for apps, Islamic tools, AI systems, and automation projects.

32 lines 1.49 kB
[ { "id": "1", "surah": "The Opener", "verses": "1-7", "text": "Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye Kurehemu. Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote; Mwingi wa Rehema, Mwenye Kurehemu; Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo. Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada. Tuongoe njia iliyo nyooka, njia ya uliowaneemesha, siyo ya waliokasirikiwa, wala waliopotea." }, { "id": "103", "surah": "The Decline Day", "verses": "1-3", "text": "Naapa kwa Zama! Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara, ila wale walioamini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri." }, { "id": "112", "surah": "The Sincerity", "verses": "1-4", "text": "Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. Hakuzaa wala hakuzaliwa. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja." }, { "id": "113", "surah": "The Daybreak", "verses": "1-5", "text": "Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko, na shari ya alivyo viumba, na shari ya giza la usiku liingiapo, na shari ya wanaopulizia mafundoni, na shari ya hasidi anapohusudu." }, { "id": "114", "surah": "The Mankind", "verses": "1-6", "text": "Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu, Mfalme wa wanaadamu, Mungu wa wanaadamu, na shari ya wasiwasi wa Shetani Khannas, anayetia wasiwasi katika vifua vya watu, kutokana na majini na wanaadamu." } ]